Mimi sikubaliani na hilo sema wachezaji wengi umri umekwenda sanaaaaa, timu za ulaya zinacheza kila kukicha mbona hawatoi sababu za kitoto hivyo? Tatizo la simba mnang'ang'ania wachezaji wale wale kila siku. Mnawaita wenye simba yao hawaguswi. Bocco kachoka, mkude, mzamiru, shabalala...