Recent content by SemeniAbdallah

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye usaili baada ya kupangiwa kituo cha kazi

    Sawa nitatulia nilipo kwanza.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye usaili baada ya kupangiwa kituo cha kazi

    Ni kweli, ndio maana nimeuliza kwanza ili nipate mwanga kabla ya kufanya maauzi.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye usaili baada ya kupangiwa kituo cha kazi

    Nashukuru kwa taarifa.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kuitwa kwenye usaili baada ya kupangiwa kituo cha kazi

    Habari, mimi ni binti ambaye niliomba ajira serikalini mwaka jana sehemu mbili (Taasisi A, na Taasisi B) kupitia utumishi na nikafanikiwa kupata na kupangiwa kazi kwenye Taasisi A. Hadi sasa nina miezi minne kazini na nimeshapata cheki namba. Taasisi B ilikuwa bado haijaita watu kwenye usaili...
Back
Top Bottom