Recent content by Sema Kimeumana

  1. Sema Kimeumana

    Swali la Kimkakati: Kwanini Tanga Isiunganishwe na SGR?

    1. Tanga population ya watu ni ndogo. Zaeni kwanza kwa kasi kama wasukuma nyie. 2. Business movements kutoka na kuingia Tanga siyo rafiki. Kidoogo biashara ya matunda. 3. Subirini cargo SGR, ya sasa ni ya abiria
  2. Sema Kimeumana

    Paul Makonda kuzungumza na waandishi wa habari muda wowote kuanzia sasa

    CCM ni chama makini, kuhojiwa kwa Makonda ni utaratibu wa kawaida ndani ya CCM. Pamoja na mambo mengine, kuitwa kwa Paul Makonda ni msaada kwa CCM kupitia kamati ya maadili kupata more information juu ya wale wanaokiuka kanuni na taratibu za miiko ya kazi zao.
  3. Sema Kimeumana

    Jeshi la Polisi: Madai ya Makonda kuuawa, kama yupo ‘siriasi’ aende Polisi

    Makonda anaweza kuwa na ugomvi na mashoga hadi kutaka kumdhuru? Serious??
  4. Sema Kimeumana

    Lema: Mshahara wa Mbunge ni Mdogo sana, 4000$ Kwa mwezi anazidiwa na vijana wanaofanya cryptocurrency

    Nadhani alimaanisha wanaofanya biashara ya cryptocurrency wana earn more than what mbunge earns. Sidhani kama alimaanisha mshahara wa mbunge ni mdogo. Kama alimwambia Kitila aache ubunge amfundishe how does the cryptocurrency works ni kumshawishi ajoin biashara anayoifanya, ama siasa tu.
  5. Sema Kimeumana

    Chanjo ya UVIKO-19: Wasiotaka kuchanjwa wafunguliwe kesi ya kutaka kujiua

    Unachanjwa ili kulinda afya yako na uwapendao. Nenda ukachanjwe
  6. Sema Kimeumana

    Chanjo ya UVIKO-19: Wasiotaka kuchanjwa wafunguliwe kesi ya kutaka kujiua

    Wewe unahitaji chanjo. Tunapenda uishi mwenye afya njema
  7. Sema Kimeumana

    Chanjo ya UVIKO-19: Wasiotaka kuchanjwa wafunguliwe kesi ya kutaka kujiua

    Wadau, Dunia sasa linaingia katika wimbi la nne (fourth wave) ya maambukizi ya korona, kama tunavyosikia na kuona kupitia vyombo vya habari vya kimataifa, Ujerumani maambukizi yamefikia takriban 52,000+ ndani ya masaa 24 ambacho ni kiwango kikubwa ukilinganisha na waves zilizopita huko nyuma...
  8. Sema Kimeumana

    Taarifa: Rais Samia Arejea Jijini Dodoma leo Agosti 08, 2021

    Dodoma ni makao makuu ya nchi. Dar Es Salaam sehemu ya makazi ya mama yetu. Hamjui yupo kwenye polygamy's marriage jamani? Rais kusafiri siyo to Dar-Dodoma, hata kwenda wilayani ni Taarifa KAZI IENDELEE
  9. Sema Kimeumana

    Shahidi: Sabaya aliniwekea Bastola mdomoni na kichwani kutaka kuniua

    Kweli alikuwa kipenzi cha Magu. Lakini Magu hakumtuma akafanye ujambazi. Hiyo ni tabia yake
  10. Sema Kimeumana

    Pesa ya kununulia ndege ipo lakini ya kujenga madarasa hakuna

    Tuliambiwa tuzae elimu ni bure. Wengine tukaoa mpaka wake wanane tunatotoa watoto kama tunateleza. Sasa utoaji wa huduma na mahitaji lugha gongana
  11. Sema Kimeumana

    Sabaya under probe for seven other claims

    Hii scandal ya Sabaya liwe fundisho kwa viongozi wengine wenye tabia kama yake.
  12. Sema Kimeumana

    Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

    For your information, wengi wa wanaokufa Uganda ni wale waliopata chanjo ya kwanza. Wataalamu wanasema once ukishapata chanjo ya kwanza utatakiwa upate hanjo ya pili ili iweze kuimarisha immune system. Naunga mkono hoja ya Polepole, tusikimbilie kuchomwa chanjo, kama kuna uwezekano tuimarishe...
  13. Sema Kimeumana

    Rais Samia atengua uteuzi wa Albert Chalamila RC Mwanza, Dkt. Batilda ateuliwa kuwa RC Tabora

    This depends on who should do the due diligence. Of all, entire government qualifies to be vetted, from the top to the bottom.
Back
Top Bottom