Bunge hili limetupitusha kwenye mambo makubwa mawili .
Mosi ni issue ya marekebisho ya Kikokoto kuwa 33% ya malipo ya mkupuo walipitisha kwa makofi na vifijo Leo wabunge wale wale wameanza kukutana na wasitaafu huko majimboni na vilio ni vingi maswali wanayo uliza ni kama hawakujua maamuzi yao...
Watu wameweka mazoea ,wana sahau dunia inakimbia kasi , swala la intelligencia linataka watu wenye uwezo wa mkubwa kimbinu na exposure ya mambo mengi hivyo ni lazima kiongozi afanye hivyo.
Mmmh utawafanyia hivyo wangapi ? Pia wateuliwa wote na watenguliwaji wanajua sheria na miiko ya kiapo Chao kabla na baada ya kazi hiyo na kwenda kinyume na hilo sheria zipo na nchi haijalala ujue hivyo.?
Mmmh utawafanyia hivyo wangapi ? Pia wateuliwa wote na watenguliwaji wanajua sheria na miiko ya kiapo Chao kabla na baada ya kazi hiyo na kwenda kinyume na hilo sheria zipo na nchi haijalala ujue hivyo.?
Hivi ukiwa spy master huwezi kuzidiwa kete na kuomba umwachie mwingine ? Mbona kama mnawafanya hawa watu kama Roboti, hivi kuwa hawana mapungufu , au wao wanadunia yao ya kutokuwa na mapungufu au kukosea ?
Kwenye hili tumezunguka wewe hivi , mwenye kampuni au biashara unaweza mruhusu mhasibu wako kulipa ma B ya pesa hata kama wewe sio mtia "sahihi" bila kuwa na taswiswi, ebwana uliangalia kweli ni B au M hivi? Jamani hebu fanya kuwa unaniletea cheque za Ma B nione kwanza then muendelee na hatua...
Kuna shida ya elimu ya utawala wa sheria , hata kama hayo mamlaka Rais anayo haipi jukumu la kutoa amri,Kamata, weka ndani,ndiyo mtu aende mahakamani Rais anatufundisha juu ya Ubutu wa taasisi zetu za haki jinai na uchunguzi,nadhani kuna haja CAG report na PCCB report itungwe sheria kali mtu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.