Mimi nafikiri biashara hutofautiana kutokana na maeneo sio lazima uwekeze 5ml ndo uingize faida ya 50k,unaweza kuweka laki 2 na ukaingiza faida ya laki au 70k inategemeana unafanya nn na upo eneo gani,watu wa ziwani kama wapo nadhan wataielewa hii kwa upande wa samaki,mabondo n.k mtu ananunua...
Wakuu, habari zenu,
Samahan mimi nipo Mwanza nina juice bar naona hapa biashara kidogo imekua ngumu nawaza kuhamia mji mmoja kati ya Katoro au Kahama,
Naombeni ushauri kwa wenyeji wapi panafaa zaidi kwa biashara hyo na urahisi wa kupata eneo na matunda, pia aina ya watu sehemu izo,
ASANTENI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.