Nyumba inauzwa Bagamoyo mjini
Ina vyumba 3 vya kulala
Kimoja master
Eneo square mita 800
Bado mpyaaaaa
Bei 190M
Maongezi yapo 🙏🙏
Mawasiliano 0757854660
Habari,
Natafuta fremu kibaha eneo moja wapo kati ya haya
Kwa matiasi
Kwa mfipa
Kongowe
Iwe sehemu nzuri sio ndani ndani.
Kama unayo pls nicheki 0757854660.
Ofa yangu 70,80, mwisho 100 kwa mwezi 🙏
Wapendwa mimi ni binti wa miaka 25 naishi kibaha nipo mbele yenu nikiomba ajira mnisaidie naamini humu kuna watu mbali mbali pls nikomboeni mimi 😭.
Elimu yangu ni stashahada ya utunzaji fedha (niwe mkweli sijawahi fanya hii kazi toka nimalize chuo sijafanikiwa kupata kazi ya fani yangu) ila ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.