....CCM utawajua tu kwa kujipa moyo..atutajie jimbo moja tu ambalo wameshinda....awe detailed kidogo kuhusu idadi ya kura, waliopiga au ngapi zimeharibika...asilimia hiyo inaweza kuwa ni ya walevi aliowakura kilabuni au wauza mitumba sokoni...
....kwa bahati mbaya wengi wanashindwa kumuelewa Dr. Slaa na mbaya zaidi wanachukulia juu juu tu kila anachokisema...tut0fautishe Sera na Ahadi...elimu bure ni Sera...kununua bajaji kwa wajawazito hiyo ni ahadi..sera inaambatana na mikakati na hapo inawahusisha watu wengi ndani na nje ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.