Recent content by Sedy maina

  1. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    hivi ingekuwa we ndio unatoka urai ingekuaje?? Sikwaubaguzi huo ivi kulipa visa for 16year ameipatia serikali kiasi gani unajua we we achana kuangalia viwanda tena hao ndio pesahazifiki kwenye serikali. Acha ushamba .Hebu nipe muongozo ya wawekezaji wengine wameifaidisha nchi nini.? Mwenye...
  2. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    Nimeomba muongozo kwa waliowahi kuomba sasa naona neno chef limewakwaza sana wadau wachache
  3. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    ww si Mungu ini mwanadamu tu kama mm wala sin idhini ya kukata tamaa na kukuogopa.. Sinanidhamu ya ya uoga ndio maana nimejianika tena na sisi tiza kusema biriani lake in tamu sana... Nitamuhangaikia kadri niwezavyo na mrejesho nitaurejesha humuhumu w atu kama we kwenye chuki... Asante.
  4. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    Sijajitambulisha kwa MTU Huyo amejiski kufurahisha watu
  5. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    Yani sio kidogo baadhi ya uhamiaji so watu wazuri kabisa
  6. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    Umepanic sana kama vile we ndio umeolewa
  7. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    Anajua kiswahili vizuri kabisa kuongea kusoma na kuandika
  8. Sedy maina

    Naombeni msaada wa namna ya kupata kibali cha Uraia

    Hivi unamuingizaje MTU nchini kinyemela hakuna uhamiaji airport zetu hakuna immigration kwenye mipaka yetu.... Inaonekana unachuki na bara LA Asia ndio maana mapovu kwa sana... .. We we ni afisa uhamiaji wa wapi mkoa gani??? Uhamiaji unatakiwa kupenda RAIA wakigeni na sio chuki zisizi na...
Back
Top Bottom