Kweli silaha ya mabadiliko ni elimu na uelewa, serikali inaona njia iliyobaki nidhibiti nyanja muhimu zinazotumika katika kuwaelimisha watu na kuwapa habari iliyo 'clean' na sio ya kuchakachuliwa kama ya TBC
Uongozi bora sio kupanda jukwaani na story nyingi za kuwaadaa wananchi huku hamna vitendo. Tunahitaji kiongozi anaefanya kwa vitendo na kazi zake zinaonekana..
Ni jambo la kujivunia sana pale kiongozi anapoumiza kichwa na kutafuta njia mbadala za kusaidia watu wake. Hongera sana Mhe. Lema, najua huu ni mwanzo tu
Slaa ni kiongozi mwenye maadili sana, from official affairs to personal affairs.. Hata ukiangalia background yake, tofauti na baadhi ya viongozi wetu wa juu kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.