Ooh so sad, mkuu mbona wanakuja PM kibao na tunayajenga mwisho wa siku lazima nibaki na mmoja this is what i tell them and they understand,
Nahis waliokuja PM ndo wanajua how serious I am na sina haja ya kumchezea mtoto wa mtu.
Wala ngono si kipaumbele changu so we differ ulivyo ww si nilivyo mm.
Kwanza pole sana
Pili sio kosa kumpenda mtu na kumuonyesha hisia zako kwake
Tatu huyo mtu hana mapenz ya dhati kabisa na ww inaonesha dhairi ndo maana yupo tayar kukuchafua na kukuharibia sifa yko. Anajua hata ukiwa na sifa mbaya kwenye jamii yy haitamhusu maana haitatokea akakufanya kuwa mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.