Ooh so sad, mkuu mbona wanakuja PM kibao na tunayajenga mwisho wa siku lazima nibaki na mmoja this is what i tell them and they understand,
Nahis waliokuja PM ndo wanajua how serious I am na sina haja ya kumchezea mtoto wa mtu.
Wala ngono si kipaumbele changu so we differ ulivyo ww si nilivyo mm.