Haiji u swali bado..kwa nini awapeleke sehemu ambayo ameshaweka watu wengine wakati dunia ni kubwa na maeneo mengi yapo wazi?au kwa nini hao watu asingewaweka sehemu nyingine ili sehemu ya waisrael iwe wazi
Sawa..lakini ukiishia hapo na kuhitimisha unajilimit na inakua sio critical thinking tena.
Maswali bado mengi..je yalirushwa kutoka umbali gani,je uwezo wake kwenda chini ni upi,je hicho kituo kilikua umbali gani kwenda chini,je blast yake inakua na imbact kwa circumference ipi likipigwa kwenye...
Kwanza..unasema mtu ambae hayuko biased huku ukileta habari ambayo imeandaliwa na israel
Mwanzo wa habari tu imeandikwa kua imekua translated from hebrew
Unavyojibu maswali ni wazi unaitetea taarifa wala hujajitenga nayo..au na hilo pia hatuwezi kutumia akili zetu kutambua kama tunavyoweza kutambua impact ya vita?
Hakuna aliepinga hili..swala ni wewe kusupport program imerudi rudi nyuma kwa miaka kadhaa huku enrichment ikiwa ni miezi kadhaa na ukiulizwa phase gani ya program imerudi nyuma kwa miaka kadhaa hujui..inashangaza kusupport kitu bila kua na obvious facts
Uharibifu utakua mkubwa lakini haina ulazima kua uharibifu umetokea kwenye focal point ya facility.
Watu wawili wakipigwa risasi kwa kutumia bunduki moja,mmoja akapigwa ya bega mwingine ya kichwa watapata madhara tofauti kutokana na mahali walipojeruhiwa japo hio risasi ina nguvu sawa.
Halafu..unawezake kulipua enriched uranium na kisiwe na blast?au hata dalili za blast ikiwepo tetemeko la ardhi au nuclear fallout kwenye openings za facility?tena 20% ya kilo 60 maana yake 20kgs za enriched atoms zilipuke na pawe kawaida tu????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.