Nashangaa na ninazidi kujiuliza kila siku, JE ni nini hatima ya wale waliokosa mkopo ambao Form zao za kuombea mkopo hazikuwa na kasoro?
Je kwa wale walioandikiwa NOT ELIGIBLE wanaishia wapi?
Je hawana haki?
Je hao sio watanzania?
Je wote wanauwezo wa kujilipia?
Je wana JF mnalionaje hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.