Nimeingia kama ulivyo sema nika login baada ya hapo sikuoni cha kufanya.Je Kama Nimesha Login In Kwenye Hiyo Link Ina Akaunti Itafutika.Maana Nimeingia Na Akaunti Imefunguka Kama Kawaida Na Option Ya Kudete Sikuiona.
Mimi nahitaji kufuta kabisa akaunti ya facebook jumla isiwepo kabisa lakini sioni sehemu ya kufutia akaunti ya facebook.nauliza kama nataka kufuta kabisa akaunti ya facebook nifanyaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.