We mama hii ni jamii forums, mijadala inaibuka ili ijadiliwe na itoe majibu chanya kwa pande zote, wewe kwavile imeguswa interest yako umekuja hapa kama umebakwa ukijidai uko neutral😀 English nyingi haina mchango wa maana umetoa sanasana umefanya mashambulizi.
"You are a religious fool...
utaahira wako ni kushindwa kutoa hoja yako bila kushambulia character ya mtu usiemfahamu hata kidogo🤣🤣. Na huna ufahamu wowote wa chochote🖕🖕
, unaweza kufikisha hpja bila tusi wala kejeli na ikaeleweka.
Muige user mwenye username ya "stroke"
"MATAKO YAKO"
Tolerance inapokuwa abused ndo tatizo linaanzia hapo🤣
It's not fair kutafuta tolerance ya mtu for twelve hours or more, una nafasi ya kutokumkwaza kwanini umkwaze afu utake awe mvumilivu?
😎maoni yako tumeyaona, na uwezo wako kuchangia hoja tumeuona, ila nakufundisha tu kuwa bus tunazoziongelea ni private property iliyosajiliwa kutoa public service kwa masharti ya kutoa huduma bila ubaguzi wa aina yoyote(kidini, kikabila, kijinsia na kutakiwa na sheria kujiepusha na ubaguzi wa...
unatuona wote kama matako yako sio hatujawahi kupanda ndege🤣🤣?
Kwahiyo hadi umefika kwa cabin crew unaweza kufanya maamuzi tofauti kwasababu ya kinachotokea ndani ya ndege?
Hadi uwajue cabin crew unaosafiri nao kwenye ndege tayari milango ya ndege ishafungwa ngazi imetolewa chuma inaondoka...
Waambie waandike kwenye matangazo kuwa kwenye hii gari tunataka watu wanaopenda injili tu au kaswida tu🤣🤣.
Uone kama watu tusiopenda hayo mambo tutapanda
Naogopa kutaja majina ya kampuni ili nisiwe nawapa watu promo za bure, au nikataja wenye mifano mibaya nikawa naua biashara za wengine walizotumia muda mna nguvu kuzifikisha hapo zilipo.
But natamani wajirekebishe wajue wateja wao ni wa aina zote so kila kinachowekwa ndani ya bus zao...
Huwezi kupiga miziki ya injili tu njia nzima masaa kumi na mbili afu uko hapa unatusumbua kudai mifano ya maudhui inayopendwa na watu wote🤣🤣.
Na kama mwenye bus au kondakta ameamua kwenye bus yake aweke mambo ya dini na ni gari ya umma(kwa maana kwamba wateja wake ni watu wa dini na aina zote)...
nakufafanylia ili uelewe naona huelewi au unabadilisha mada makusudi.
sasa hebu jaribu kufikiri siku umeenda kuangalia simba au yanga, afu muda wote uwanjani zinapigwa kaswida tu, au injili tu🤣🤣🤣? Ni sawa hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.