Kijiji MLANJE
kata MPUNGUZI
Mkoa DODOMA
Kuna kundi kubwa la tembo takribani 30 au zaidi wanatembea usiku kwa zaidi ya wiki moja sasa ndani ya eneo hili na kusababisha uharibifu wa mazao pamoja kuvuruga amani tunaomba TANAPA wafanye namna kuzuia tembo warudi walikotoka ni hatari kwa wananchi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.