Recent content by SARO OGONI

  1. S

    Kesi ya Mbowe na wenzake inaitesa Serikali, inawatesa viongozi wa vyama na Serikali na inatutesa raia wema kuliko inavyomtesa Mbowe na wenzake

    Umeandika vyema sana sana, kwa uweledi mkubwa na hisia za ndani sana kiongozi. Kiroho sana mkubwa....
  2. S

    Maharage Chande: Tuache kupeana maneno tamutamu; bei ya Tsh 27,000/= haitoshi kuunganisha umeme

    Tanesco haijapata MTU au ni mradi wa watu flani,au imeachiwa iendeshwe kisiasa....ila hili LA hujuma laweza kuwa sahihi..haiwezeiani kila kukicha tanesco ni majanga. Kwani walimu,madaktari,vifaa tiba,vifaa vya kufundishaia n.k. vinagaramiwa na nani? Nafikiri ni wakati muafaka sasa Siri-kali...
  3. S

    Maharage Chande: Tuache kupeana maneno tamutamu; bei ya Tsh 27,000/= haitoshi kuunganisha umeme

    Nchi ngumu sana hii. Jamaa nae anahisi alivumilia sana lawama sasa ndio kaamua kujotokeza kuusema anaohisi ni ukweli!! Kupanga ni kuchagua na bwana maharage anapaswa kujua umeme ni sawa na huduma nyingine za jamii km ilivyo maji,barabara,afya,elimu n.k.Public goods... Sio 27,000 tu inaweza...
  4. S

    Askofu Niwemugizi ni kama Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini

    Kuna ukweli mmoja tuu, na ukweli una upande mmoja tuu.... Ni hatari kwa taifa kwa vijana wapofu wa fikra km wewe kuwaza kuwa yeyote anayesimama kusema yanayosemwa na wasio serikalinu au wasio wana ccm basi atapachikwa majina hayo ya upinzani,ya vyama,uanaharakati n.k
  5. S

    Rais Samia shika fimbo, wanataka kupitia mlango wa nyuma

    Majukumu ya binge/wabunge ni yapi?
  6. S

    Acheni kumfuatilia Polepole ni mwanaharakati siyo mwanasiasa

    Kuna ukweli mmoja tu, na ukweli una upande mmoja,km ukweli umeangikia upande wa kuonesha madhaifu ya serikali isitafsiriwe anainanga serikali Bali ukweli ndio umeegemea huko
  7. S

    Atayekuja atakuwa mkali mara 100 zaidi ya Hayati Magufuli

    Ule sio ukali ni ukatili...watu wa kaliba ile hawatokei kirahisi inaweza chukua miaka 100 au zaidi kupata watu wenye tabia zile
  8. S

    Lissu na CHADEMA, mnatatizwa na busara zaidi

    Kama ni fursa kwanini wakubali kupita mapito magumu hivyo? Waliofanya mkato walishapewa fursa na wengine wameshanyanganywa....
  9. S

    Lissu na CHADEMA, mnatatizwa na busara zaidi

    Kwanini busara itumike upande mmoja unaodhihirika kukandamizwa?kwanini kumtendea MTU ubaya makusudi halafu umtake akupigie magoti? Vaa viatu vaa hawa watu ndugu....wapo wanaoweza kufanya hivyo kama njia ya mkato pia wapo wasioweza kufanya hivyo kwa kusimamia wanachokiamini kama ambavyo Lisu na...
  10. S

    Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana, kutoka kupigiwa magoti hadi kusindikizwa nje ya Ikulu

    Siku yaja punde bila kutazamiwa. Heri wangebaki na mpinzani aliyeonekana km adui, wao kwa wao wanaendelea kulana pole pole....
  11. S

    Bunge: Tumemuhoji Askofu Gwajima na ametupa ushirikiano wa kutosha na kazi bado inaendelea

    Asili yake ni ngumu kuiacha.....ilikua ni kosa kumkaribisha nyumbani..ataendelea kuwavuruga si ktk UVICO TU. Hata polepole atawapa shida sana kijani. Anaanza kurudi ktk asili yake.
  12. S

    Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

    Hii huhitaji kuoneshwa na Mungu,ni mitego ya kawaida ya dola zote duniani pindi unapoonesha yafananayo na ya Rashidi dhidi ya dola
  13. S

    Bungeni: Askofu Gwajima agoma kukalia kiti na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa na Kamati ya Maadili

    Ka nchi ka maboya kwanini asijitwalie ugreat thinker... Km tuko geto vile. Ugorougoro kila kukicha
Back
Top Bottom