Wadau, habari za wakati huu... Kuna mtu yeyote yuko tayari tuungane tuanze harakati ya ukusanyaji na uchenjuaji wa mchanga wa madini (Marudio). Sina uzoefu wowote ila nina taarifa za awali na nia ya kazi. For 9 months only. Kitakachopatikana tugawane.
Kuanzia kukusanya kwa kununua mawe, kusaga...
Wadau naomba kujua kama kuna taratibu zozote za kufanya ili kuweza kufanya biashara ya mazao lwa kuuza nje ya nchi hususani hotcultural
=======
Mchango wa mdau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.