Recent content by Sarah mzuri

  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

    Wanyarwanda ni wazuri
  2. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

    Kuwa makini dear usije haribu ndoa yako my sawa. Yalinikuta mm hayo
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Jamaa alichukua uhamuzi gani alivyoona, Na mkeo pia
  4. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Tangu tuyamalize na wazazi , huwa anavaa condom sasa ni 3 years anavaa condom, nimeshidwa kumshawishi asiwe anavaa.
  5. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    No simkumbuki
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Mimi ilikuwa ni mara moja tuu sijawahi kumcheat kabisa.
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Naona unamiaka 50 now, vipi unaendlea kucheat still?
  8. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Kuondoka siwezi
  9. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Ume alisema kazini ndo kunapelekea hayo yote na kudanganya kuwa siku ile nilikuwa kwenye kikao. Tukakubalina kuwa niache kazi
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Aaaaa is that true? Mkewe anahari gani sasa
  11. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Kwa sasa hata kulala na mimi anaweza tu mara 2 au 3 kwa mwezi basi ila hasa mara 2 tuu
  12. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Ya ni kwelj simu yake mimi nawez shika mda wowote hana shida yoyote hata password hana
  13. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Alichukua mume wangu
Back
Top Bottom