Ni mashati tu!! Na bei zinatafutiana ..! Na zote stock zimeisha imebaki hizo jacket ndo maana nilisema oda Kwanza !.,na pia mna haki ya kuchunguza shati kabla ya kutoa oda yako! Mfano ya hi shati bei yake
Ni 65,000 kwa jumla 45,000
Habari zenu ndugu..
Leo nimerudi na biashara ya nguo.., natafuta wateja na wanunuzi wA jumla.. Nimeingia natafuta hapa mtandaoni no one knows labda nitapata good ideas .., na mpaka sasa natafuta duka mjini ya kuuza biashara yangu .. Kwahiyo atakaye kua tayari kununua
Soma inavokua
1) Hamna...
😳😳😳😳😳ًmwezi moja tu!!! mbona ni muda ndogo sana .,, kama unataka let it be for six mounth hivo utawasaidia waliokua na haja
Habari zenu
Kama nilivosema kua natafuta kitu hakipo dar , sasa nishapata kitu hakipo tanzania nzima nitaanzia kidogo kidogo sitaweza kutaja hizo bidha ila baada kufanikiwa
hasenteni sana kwa msaada zenu wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.