Wewe kama ni mwalimu, unalipwa mshahara, husisha akili yako kidogo tu kujua kwamba, mshahra wa mkulima na mazao yake! Kama mkulima asipo uza mazao yake kwa ‘bei ghali’, na kwa Hali hii ya uchumi, atakuwa na njaa, kwa hiyo tumia akili zaidi, ya hiyo, mwalimu!
Kauli yako na nyingine nyingi kuhusu CHADEMA ni very cheap, lakini kama ingekua hata na chembe kidogo ya ukweli, basi ccm na utawala wote wa serikali si ungekuwa takataka kabisa!?! Kama serikali yenye majeshi, yaliyo weza kumtoa Idd Amini kwenye nchi yake, haiwezi kulinda raia wake, watu wazito...
Mtoto alikuwa anasoma St. Mary’s Mazinde Juu, Lushoto. Alikua shule muda wote, form two walifunga shule tarehe 19 August, kwa hiyo alikuwa haja kaa nyumbani hata wiki moja! Wenzake wana rudi shuleni weekend hii! So sad, pole sana Mwambe, mtoto wangu alikuwa anasoma na Cecilia, amesema ni binti...
Ni uongo, unasema uongo Wewe baiskeli ya miti! Zito amekudanganya Wewe na wenzako kwamba mkazikwe pembeni ya kaburi la mwendazake, hilo haliwezekani! Kufa uzikwe kwenu, na kama unafikiri utamkuta babaako ndo malaika mkuu, kwenye jamuhuri ya jehanamu, kuna sapuraizi inakusubiri huko, sukumagang...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.