Unatakiwa ujue lipi jiji kubwa na lenye uchumi mkubwa kuliko jingine! Mwanza jiji tangu mwaka 2000 arusha 2010 kingine wewe hujui ni vigezo gani sehemu husika vinavyoangaliwa ili Kuwa jiji
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni upumbavu Mwanza imekuwa jiji mwaka 2000,Arusha mwaka 2010 kama mnafikiri arusha iko juu kuliko mwanza kwa nn haijawa jiji kabla!?tumieni evidence acheni ushabiki wa kipumbavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika kwamba ukumbi wa AICC walijenga wana Arusha peke yao au serikali ilitia mkono wake? Kumbuka mwaka huo arusha hawakuwa na uwezo wa kujenga ukumbi kama huo,usikurupuke
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Hebu kaulizie vizur hiyo AICC walijenga wana arusha peke yao au na serikali ilitia mkono usikutupuke
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Kweli jambo usilolijua ni kama usiku wa giza! Watu wengi sana ni mambumbumbu hivi utamhoji vipi ana silaha na mnarushiana risasi? Watz kuna baadhi ya sio lazima uende chuo kikuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.