Kagalala - Uliweza kupata mrejesho juu ya hili suala - kama wataalamu wa bodi ya korosho wanaridhia kupanda miche 120 kwa ekari (kwa upana wa mita 5-6 x 6-7)? Nauliza kujua kama ukiomba miche yao (ile wanayogawa bure) kama watakubali kukupa miche zaidi ya kipimo chao cha 25 kwa ekari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.