Ukiona leo kimya kufika ijumaa kimya tusubili placements ya pamoja kuanzia tarehe 18 ha 31 wa kumi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Baada ya kuvamia mtubwi wa vibwengu leo.tukutane baadae unavyosubili majibu kumuangalia mandonga mtwara
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huwaga kunamakosa hutokea utumishi wanatoa tangazo la Kazi Fulani uwe na certificate baadae wanakupeleka kutokea database unapelekwa sector nyingine uwe na diploma kumbe mtu huyo aliishia certificate
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Utumishi walivyopoa km hawapo ofisini,hamna tangazo la Kazi,hamna, placement,na Toka Waite watu kwa usaili kupo kimya sijui wanakandwa tyu raia wa usaili na interview zao za madonga
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Yani mtu ukimpa maswali ya written unasema ulifeli wapi mbona paper jepesi ila ukiingia unakandwa Hadi so poa unaambulia 25
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.