Recent content by sambulugu

  1. S

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Waislam katika nchi ya Iran ni kama asimilia 40%, Kumbuka hao sio Waarabu wana utanadunia wao wa kale na kale kama Persian culture. Hao unaowaona wanatawala kwa kivuli cha dini ni jamii tu kama BAKWATA kwa hapa bongo ipate madaraka. Kwa hiyo maelezo yako yote ni ya uongo na yamejaa ujinga na...
  2. S

    Wakati tunapinga Mkataba wa DP World wafanyabiashara walikuwa kimya. Gharama za bandari zimeongezeka kwa 500% hadi 700%

    Hata kama hawajali ila ujue mlaji wa mwisho pia anapinguza uwezo wake wa kununua kwa maana ya kubana matumizi. Mfanyabiashara biashara lazima apate changamoto kwenye mzunguko wake wa mauzo Mfano watu wanaouza magari kama bei ya magari itapanda automatically wanunuzi watapungua pia.
  3. S

    Wakati tunapinga Mkataba wa DP World wafanyabiashara walikuwa kimya. Gharama za bandari zimeongezeka kwa 500% hadi 700%

    Ukweli ni upi kaka,Nyinyi mnatumika kutetea ujinga huku mna maisha magumu yasiyo na maana
  4. S

    Wakati tunapinga Mkataba wa DP World wafanyabiashara walikuwa kimya. Gharama za bandari zimeongezeka kwa 500% hadi 700%

    Ukweli ni upi kaka,Nyinyi mnatumika kutetea ujinga huku mna maisha magumu yasiyo na maana.
  5. S

    PostGE2025 Februari 19: Shahidi wa kwenye kesi ya Lissu ashindwa kusoma PGO ya Polisi iliyoandikwa kwa Kiingereza. Lissu amjibu!

    Aese mtu anahojiwa na anajikanyaga, Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha ujinga wa mashahidi wa mchongo.
  6. S

    Lisu kiboka: sikiliza ujasiri wa kuongea na shahidi/ impeachment

    Hahahaa kazi ya wasio na akili a k a majitu ya division four ya 30+
  7. S

    BBC Swahili imekuwa too cheap hadi kuchapisha ishu za dodoso la Lissu kule mahakamani, what went wrog ?

    Wewe mwenyewe juha tu hata kuandika hujui nendwa kwanza kasome kingereza ndo uje hapa kutetea ujinga wenu.
  8. S

    Mwigulu Nchemba: Serikali kununua matrekta 10,000

    Hapo hakuna tija itapatikana, Serkali haijawahi kusimamia jambo likafanikiwa vizuri, Mfano ni Waziri wa Kilimo aliyepita Bashe alikuwa na mipango mingi ya kuanzisha maeneo ya kilimo na kuwapa wahitimu vijana mashamba ya kilimo na hakufanikiwa kwa lolote na mabilioni ya shilingi yamepotea...
  9. S

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Asanteh sana ndugu umemaliza kila kitu. Maana hawa jamaa zetu vichwa vigumu sana.
  10. S

    Mahakama yaamuru aliyevunjiwa Ghorofa na Jerry Silaa alipwe Tsh. 3.2 Bilioni

    Hahahahaha Mahakama za Tanzania. Hongera sana kwa maamuzi yenye tija.
  11. S

    Sioni nia njema ya Makonda kugawa fedha kwa Content creator zaidi ya kutaka kudhibiti maudhui Yao kama wasanii na waandishi walivyouwawa kimaudhui

    Jamaa nanapenda sana attention, Hawezi kufanya kazi bila kutengeneza mazingira ya kuwaaminisha watu kuwa naweza.
  12. S

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Arusha imejengeka ila sio kuilinganisha na Mwanza
  13. S

    Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

    Tumekimbia bhana maana mmetuchosha sasa wakati mnajua kabisa ukweli.
  14. S

    Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

    Wakazikwa mkunduni kwako. Watu wapumbavu kama nyinyi na wendawazimu mnasitahili majibu kama haya. Senzi kabisa.
Back
Top Bottom