Waislam katika nchi ya Iran ni kama asimilia 40%, Kumbuka hao sio Waarabu wana utanadunia wao wa kale na kale kama Persian culture. Hao unaowaona wanatawala kwa kivuli cha dini ni jamii tu kama BAKWATA kwa hapa bongo ipate madaraka. Kwa hiyo maelezo yako yote ni ya uongo na yamejaa ujinga na...
Hata kama hawajali ila ujue mlaji wa mwisho pia anapinguza uwezo wake wa kununua kwa maana ya kubana matumizi.
Mfanyabiashara biashara lazima apate changamoto kwenye mzunguko wake wa mauzo
Mfano watu wanaouza magari kama bei ya magari itapanda automatically wanunuzi watapungua pia.
Hapo hakuna tija itapatikana, Serkali haijawahi kusimamia jambo likafanikiwa vizuri, Mfano ni Waziri wa Kilimo aliyepita Bashe alikuwa na mipango mingi ya kuanzisha maeneo ya kilimo na kuwapa wahitimu vijana mashamba ya kilimo na hakufanikiwa kwa lolote na mabilioni ya shilingi yamepotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.