Recent content by sambulugu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Wewe unadhani huo mkoba umenunuliwa kwa mshahara wa waziri? Hospital ngapi hazina dawa na vitanda wewe uko hapa unashabikia na kuona ni hali ya kawaida. Wewe uwe na akili nzuri na achana na mawazo yako duni yasiyo na tija.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Meli ya Taifa iliyoongozwa bila Dira chini ya Waziri Mkuu Joseph Warioba, Kiti kikubwa maamuzi madogo ambayo hayana afya kwa taifa

    Vijana hasa wa UVCCM ni ngumu sana kukiri kuwa kuna mapungufu makubwa sana kwenye leadership ya Mama Samia na hilo wanalifanya kwa makusudi kabisa bila woga wowote na wanafanya haypo kwa kutegemea teuzi. Kwa ujumla hakuna dira kama nchi kwa sasa.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Jamaa lijinga sana linadhani Mkoba huo ananunua Waziri kwa pesa zake mfukoni, Ndo maana huwa nasema CCM mtaji wao mkubwa ni vijana wajinga na wapumbavu kama hilo jamaa hapo.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Hahaha, Sawa tumekuelewa ila Waziri mwenye kifua kipana hawezi kuelewa hilo.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Askofu Kisare: Huwezi kuwa na haki bila amani, na huwezi kuwa na amani bila haki, haiwezekani

    Uchawa tu, Haki ndo inaanza ndo amani inafata. Tofauti na hapo ni uongo na unafiki uliopitiliza.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Wenje na Peter Msigwa hata ukuu wa wilaya tu hamjapewa

    Duuuh maisha sio poa. Maana wanaohitaji UDC ni wengi sana huko CCM nakila mtu anapambana kivyake. Ndo maana unaona wengi ni machawa.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Makonda: Wanaopiga kelele rushwa ni hatari ni kwasababu ya njaa tu hawajaingia jikoni wakiingia mdomo utajaa mafuta

    Huyu anamaanisha yeye yuko jikoni na anakula apendavyo ndo maana anaongea huo upupu. Viongozi hawa ni bora liende. Tamaa ndo kipaumble chao.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    Kwa hiyo wewe na bicha lako hilo unaamini hiyo ripoti ni sahihi? Kwanza ni ripoti ya Rais wewe unaishabikia tu. Hiyo sio ripoti ni ujinga tu wa Mtu mweusi.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu amejipa umasihi wa kuponya mioyo na sasa nchi nzima wanaimba jina lake. Mungu amtangulie afike mbali

    Hivi kwa nini watu hamuwezi kuwa wakweli na mkaishi maisha halisi ya kusema ukweli.Kazi yenu kubwa ni kulialia na kujipendekeza kwa wanasiasa ambao hata mvuto hawana wala sio wazalendo. Hovyo sana.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    Kwa nini uzungumzie Morogoro na Dodoma? Nchi hii ni kubwa sana Dodoma kuna Benjamin Mkapa na Morogoro wako jirani na Dar es Salaam.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA kaamua kuita nyekundu ni nyekundu na si nyeupe au vinginenyo

    Hakika umenena vyema sana Mkuu wangu Mwanasheria Mkuu wa Chama chetu CHADEMA.Hawa watu wako hapo kiramu na ubabe ndo maana umesema nchi Wameilawiti na Kuifira na kuifanyia kila aina ya ubaya.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Sumbawanga Mjini, Kuliko kujenga Muhimbili mpya kwa Tsh. 1.2 Trilioni bora tujenge hospitali mikoani kuipunguzia mzigo hospital hiyo

    Ila ukitizama vizuri utaona kabisa hoja ya Mbunge iko sahihi. Kwa nini kama taifa isiboreshe hospital zingine za kanda kuipunguzia mzigo hospital Kuu ya Muhimbili. Hata hivyo hakuna sababu yenye mashiko maana majengo yapo na hospitali inafanya huduma kama kawaida. Sababu za Naibu Waziri ya...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Unajua maana ya slip of the tongue? Hapo ni mtu anaongea hana shule, hana taarifa na yeye mwenyewe hana ufahamu wowote ndo maana mpaka hotuba inaisha hakukuwa na correction yeyote. Don't be stupid nigga.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Duuh watu hawana taarifa kabisa hata walio chini yake.
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Hahahaha kagazijuto
Back
Top Bottom