Mwanza hainaga kelele sana ila watu wako bize sana kujenga mji wao. Arusha iko na hela ila haina ukuaji kama Mwanza. Hizi zote ni projects mpya kabisa na zote ni Private sector.
Lakini kinachoongelewa hapa sio mtu kujua Kingereza maana hata mtoto anaweza kujua kuongea Kingereza hata bila kwenda shule.
Hapa tunaongelea mtu akiwa ana elimu ni vema akajua Kingereza maana ni lugha muhimu kwenye dunia ya sasa.
Wewe unakuja na arguments zako zisizo na kichwa wala miguu na...
Wewe jamaa acha ujinga, Hata hao Marais wa nchi hizo wanajua Kiingereza na kuna uwezekano mkubwa wamesoma katika nchi za Magharibi.
Kingereza ni muhimu sana hata Wachina,Wahindi na mataifa mengine wanapenda kutumia Kiingereza ili kuongeza connection na watu wa mataifa tofauti.
Kama labda...
Usijidanganye kaka dunia hii haijasimqma na hakuna kusema Kabila fulani litaongoza miaka yote.
Ukijaribu kutizama hata historia inakwambia Uingereza ilitawala nchi mbalimbali ila saizi inapambana na nchi kama South Korea,China au Singapore.
Hao Wachaga tuambie hapa wana miliki nini ambacho...
Sidhani kama uwekezaji wa soko la hisa la Dar ni kigezo kikubwa.
Generation pia inachange sana miaka ya nyuma tulikuwa hatuwasikii Wakinga Wasukuma na Waha kwenye biashara na Uwekezaji lakini saizi ni jamii zinazofanya vizuri sana pia.
Kuna jamii zimewekeza kwenye kilimo,madini na ufugaji...
Duuh mi nawaza msongamano na usumbugu utakaojitikeza hasa kwa wakazi wa hapa Dar es salaam.
Kwa hali ilivyo hapo jangwani daraja kama halitakuwa limemalizika kujengwa na mvua zikiwa nyingi utegemee usafiri kuwa kipengele kizito sana kwa wenye magari na abiria wa kawaida.
Msongamano mkubwa...
Sijui kwa nini tunachukiana sana,ila ndo ubinadamu maana asili yetu tunafikiria mabaya muda mwingi.
Hakuna aliyechagua kuzaliwa mwauame,mwanake,Kabila au rangi.
Na mtu akifikia hatua ya kutojali haya mambo ya ubaguzi anakuwa amefikia kilele cha utu wa hali ya juu.
Segregation is the source of...
Mara nyingi maeneo ambayo wenyeji wanaishi na hakuna mchanganyiko mkubwa ni kawaida kufanya biashara wao kwa wao.
Pia hii sio kwa jamii za Wachaga au Wabena hata Usukumani ipo na inachukua muda mpaka wakuzoee na kufanya biashara na wewe.
Ni vema ukafahamu sio rahisi leo hii uende Usambaani...
Taarifa ikiwa nzuri na akapewa credits kiongozi ujue pia msaidizi wake amepewa pia.
Taarifa kama hii kama ina makosa madogo madogo na makubwa lawama lazima ziende kwa mwandaaji.
Ukumbuke Makamu wa Rais anatoa taarifa nani jambo la dharula.
Nadhani hakuna kibaya na ujumbe uliokusudiwa umefika.
Hahahaa mimi kazini kwangu tukiwa na Recruitment huwa nawatizama tu.
Kwanza vijana wengi wa hivi sio real na wengi ni watu wa kujisikia.
Ogopa sana mtu anakataa asili yake,ndo maana Waswahili walisema mkataa kwao Mtumwa.
How,mbona Wasukuma wengi wameona na Wachaga.
Hivi kuna mtu unaweza kumuona ndezi na muda huo ukatamani awe mwezi wa maisha.
Allegations zako hazina tija na umejawa na mizizi ya chuki.
Kumbuka mchanganyiko wa jamii huleta maendeleo(cultural diversity).
Wewe una mambo yako binafsi na Mchaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.