Huyo mshabiki maandazi hajua chochote.
Anaona Mugumu ni muhimu sana kuliko Mwanza waliyokuwa wakipambania akina Msukuma.
Huyo Chambulo sijui Baba ake maana anamuona anajua sana 'slave mind'
Kama hupandi ndege ni wewe kaka.
Rock city mall kukosa wawekezaji baadhi ya maeneo wala sio hoja.
Local passengers route ya Mwanza Dar inaongoza na watu wengi wanaoenda nje ya nchi wengi wanatoka kanda ya ziwa piq.
Kwa maana hiyo pakiwa na International flight hapa Mwanza abiria uhakika.
Wewe nawe hujitambui hoja ya Mugumu imeibuka juzi tu hapa Bugeni na kuleta mjadala.
Ila Msukuma amekuwa akiongelea issue ya Uwanja w ndege Mwanza kuwa wa Kimataifa kwa muda mrefu.
Kama unakumbuka aliomba pja iwepo route ya Air Tanzania Mwanza-Dodoma na ilishafanyiwa kazi.
Issue ya Mugumu ni...
Huyo anaongea pumba tu,Hoja ya Msukuma sio kupinga uwanja wa Serengeti.
Msikuma anapambania Mwanza International Airport ijenge maana biashara ipo na umuhimu wake ni mkubwa kuliko hata hiyo Mugumu.
Hoja ya Msukuma hukuielewa,Uwepo wa Mwanza International Airport sio kwa ajli ya Utalii tu.
Mwanza ikiwa na International Airport na Mugumu pakawa na Uwanja pia hakuna kitu kinaharibika.
Wewe jiulize watu wa Mwanza kama hawatakuwa na International Airport na Mugumu kukawa na International...
Daah katika jamaa ambao nilikuwa nawakubali sana tokea anasoma Chuo SAUT basi ni huyu ODERO ambaye kwa sasa amebadilika na kuwa mtu wa hovyo sana. Kwanza sio Mwanachadema kwa sasa.
Wewe unadhani huo mkoba umenunuliwa kwa mshahara wa waziri? Hospital ngapi hazina dawa na vitanda wewe uko hapa unashabikia na kuona ni hali ya kawaida. Wewe uwe na akili nzuri na achana na mawazo yako duni yasiyo na tija.
Vijana hasa wa UVCCM ni ngumu sana kukiri kuwa kuna mapungufu makubwa sana kwenye leadership ya Mama Samia na hilo wanalifanya kwa makusudi kabisa bila woga wowote na wanafanya haypo kwa kutegemea teuzi. Kwa ujumla hakuna dira kama nchi kwa sasa.
Jamaa lijinga sana linadhani Mkoba huo ananunua Waziri kwa pesa zake mfukoni, Ndo maana huwa nasema CCM mtaji wao mkubwa ni vijana wajinga na wapumbavu kama hilo jamaa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.