Recent content by sambulugu

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Wewe hujitambua uko hapa kuongelea vyama au tunaongelea viwanja vya ndege. Nani alikwambia mimi ni CCM.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Huyo mshabiki maandazi hajua chochote. Anaona Mugumu ni muhimu sana kuliko Mwanza waliyokuwa wakipambania akina Msukuma. Huyo Chambulo sijui Baba ake maana anamuona anajua sana 'slave mind'
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Kama hupandi ndege ni wewe kaka. Rock city mall kukosa wawekezaji baadhi ya maeneo wala sio hoja. Local passengers route ya Mwanza Dar inaongoza na watu wengi wanaoenda nje ya nchi wengi wanatoka kanda ya ziwa piq. Kwa maana hiyo pakiwa na International flight hapa Mwanza abiria uhakika.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Wewe nawe hujitambui hoja ya Mugumu imeibuka juzi tu hapa Bugeni na kuleta mjadala. Ila Msukuma amekuwa akiongelea issue ya Uwanja w ndege Mwanza kuwa wa Kimataifa kwa muda mrefu. Kama unakumbuka aliomba pja iwepo route ya Air Tanzania Mwanza-Dodoma na ilishafanyiwa kazi. Issue ya Mugumu ni...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Huyo anaongea pumba tu,Hoja ya Msukuma sio kupinga uwanja wa Serengeti. Msikuma anapambania Mwanza International Airport ijenge maana biashara ipo na umuhimu wake ni mkubwa kuliko hata hiyo Mugumu.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hadi magenius kina Chambulo wanaomba airport ijengwe Mugumu kukuza utalii na kuhimili ushindani wa Kenya, kina Musukuma wapuuzwe wanawaza maslahi yao

    Hoja ya Msukuma hukuielewa,Uwepo wa Mwanza International Airport sio kwa ajli ya Utalii tu. Mwanza ikiwa na International Airport na Mugumu pakawa na Uwanja pia hakuna kitu kinaharibika. Wewe jiulize watu wa Mwanza kama hawatakuwa na International Airport na Mugumu kukawa na International...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hongera Dr. Samia Suluhu Hassan kwa mkataba wa ujenzi wa Petroleum Refinary Tanga

    Hapo hajuna Refinery wala nini. Trillion 56 watazitoa wapi? Political masterbation
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Hahahaha cheki ulivyojaa upumbavu kichwani. Hiyo takataka inaitwa Mbeya mnasafari ndefu sana kuiboresha angalau ifikie Iringa.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Hahahaha Mbeya bado sana hata mwili kusisimka kuwa unaingia mjini hamna ni kama unaingia kijiji fulani tu choka mbaya.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Odero amekuja na kamati yake ya maridhiano, je mnakubaliana nayo?

    Daah katika jamaa ambao nilikuwa nawakubali sana tokea anasoma Chuo SAUT basi ni huyu ODERO ambaye kwa sasa amebadilika na kuwa mtu wa hovyo sana. Kwanza sio Mwanachadema kwa sasa.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Wewe unadhani huo mkoba umenunuliwa kwa mshahara wa waziri? Hospital ngapi hazina dawa na vitanda wewe uko hapa unashabikia na kuona ni hali ya kawaida. Wewe uwe na akili nzuri na achana na mawazo yako duni yasiyo na tija.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Meli ya Taifa iliyoongozwa bila Dira chini ya Waziri Mkuu Joseph Warioba, Kiti kikubwa maamuzi madogo ambayo hayana afya kwa taifa

    Vijana hasa wa UVCCM ni ngumu sana kukiri kuwa kuna mapungufu makubwa sana kwenye leadership ya Mama Samia na hilo wanalifanya kwa makusudi kabisa bila woga wowote na wanafanya haypo kwa kutegemea teuzi. Kwa ujumla hakuna dira kama nchi kwa sasa.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Jamaa lijinga sana linadhani Mkoba huo ananunua Waziri kwa pesa zake mfukoni, Ndo maana huwa nasema CCM mtaji wao mkubwa ni vijana wajinga na wapumbavu kama hilo jamaa hapo.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mkoba uliobeba karatasi za bajeti ya Afya ya mwaka ni Tsh. 13 million, mikoba miwili ni sawa na Tsh 26 million

    Hahaha, Sawa tumekuelewa ila Waziri mwenye kifua kipana hawezi kuelewa hilo.
Back
Top Bottom