Wewe unadhani huo mkoba umenunuliwa kwa mshahara wa waziri? Hospital ngapi hazina dawa na vitanda wewe uko hapa unashabikia na kuona ni hali ya kawaida. Wewe uwe na akili nzuri na achana na mawazo yako duni yasiyo na tija.
Vijana hasa wa UVCCM ni ngumu sana kukiri kuwa kuna mapungufu makubwa sana kwenye leadership ya Mama Samia na hilo wanalifanya kwa makusudi kabisa bila woga wowote na wanafanya haypo kwa kutegemea teuzi. Kwa ujumla hakuna dira kama nchi kwa sasa.
Jamaa lijinga sana linadhani Mkoba huo ananunua Waziri kwa pesa zake mfukoni, Ndo maana huwa nasema CCM mtaji wao mkubwa ni vijana wajinga na wapumbavu kama hilo jamaa hapo.
Kwa hiyo wewe na bicha lako hilo unaamini hiyo ripoti ni sahihi? Kwanza ni ripoti ya Rais wewe unaishabikia tu. Hiyo sio ripoti ni ujinga tu wa Mtu mweusi.
Hivi kwa nini watu hamuwezi kuwa wakweli na mkaishi maisha halisi ya kusema ukweli.Kazi yenu kubwa ni kulialia na kujipendekeza kwa wanasiasa ambao hata mvuto hawana wala sio wazalendo. Hovyo sana.
Hakika umenena vyema sana Mkuu wangu Mwanasheria Mkuu wa Chama chetu CHADEMA.Hawa watu wako hapo kiramu na ubabe ndo maana umesema nchi Wameilawiti na Kuifira na kuifanyia kila aina ya ubaya.
Ila ukitizama vizuri utaona kabisa hoja ya Mbunge iko sahihi.
Kwa nini kama taifa isiboreshe hospital zingine za kanda kuipunguzia mzigo hospital Kuu ya Muhimbili.
Hata hivyo hakuna sababu yenye mashiko maana majengo yapo na hospitali inafanya huduma kama kawaida.
Sababu za Naibu Waziri ya...
Unajua maana ya slip of the tongue? Hapo ni mtu anaongea hana shule, hana taarifa na yeye mwenyewe hana ufahamu wowote ndo maana mpaka hotuba inaisha hakukuwa na correction yeyote. Don't be stupid nigga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.