Habari zenu wakuu. Naomba kuelewesha katika hizi interview za TRA tulizotumiwa email kuwa twende na Deed Poll
Mf majina ya nida na birth certificate yanasoma Ikupa Samwel Seba lakini vyeti vya taaluma vinasoma Ikupa S Seba . Je hapo nahitaji deedpoll kweli?
Na je Mfano nida na Cheti cha...
Hapana sio kuhamia. Mfano nafasi za kazi za tra Wamesema walioajiriwa serikalini inabidi kupitisha barua za maombi kwa waajiri wao. Ndo nauliza usipofanya hivo kuna Athari?
Habari wana Jamii.. Naomba kupata uelewa kwenye hili .
Ikiwa umeshaajiriwa na unataka kuomba ajira Tena serikalini, wanaposema upitishe barua yako kwa mwajiri wako wa sasa .
1.Je ispofanyika hivo Athari zake ni nini?
Najaribu kuwaza . Tax officer tu walikuwa wanahitajika watu 200 na .. Kwahyo wameona njia rahisi ni kutumia email mmoja mmoja Kuliko kutoa list ya majina mmmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.