Recent content by SAMARITANO

  1. S

    Vyeti vya Lucy Kidubo vimeokotwa

    Unataka historia ya jinsi vilivyookotwa au ? Hebu kuweni na ustaarabu si lazima kila post uchangie, kama haikuhusu iache tu. huyo mtu aliepoteza vyeti ndio anayetakiwa kujua vimeokotwa wapi siyo wewe! Hivi vyuo havifunguliwi tuu ili tupumzike na huu utoto?
  2. S

    Msaada katika ndoa: Mwaka wa tatu kwenye ndoa sijapata ujauzito

    samahani nimechelewa kuuona huu uzi, ila kwa sababu mimi nimepitia hii shida nimeona nikupe ushauri kidogo. Kwa maelezo yako kuwa unapata hedhi ni uthibitisho kuwa mayai unayo. Aliyetakiwa kupima wa kwanza ni Mwanaume. Kipimo cha mwanaume ni rahisi sana tena hakichukui muda umrefu, mwambie mmeo...
  3. S

    Vyeti vya Lucy Kidubo vimeokotwa

    Tafadhali kama unamfahamu mwenye jina la LUCY KIDUBO mtaarifu kuwa kuna mtu anavyo vyeti vyake alivyovipoteza, inaonyesha ni mwanafunzi wa UDOM maana kuna payslip za UDOM. Halafu niPM nikupe namba ya mawasiliano
Back
Top Bottom