We ngoja dawa yao ndogo,kwani hao watakao pata hizo pesa hawatarudisha? Hakuna maana yakutoa mikopo kwa wanafunzi wengi huku baadhi yao wakionekana kuhangaika nakujutia kwa nn wamechaguliwa kujiunga na elimu ya juu wakati huohuo hata hiyo pesa wangekopeshwa wangetakiwa kurudisha hapo badae,hichi...
We ngoja dawa yao ndogo,kwani hao watakao pata hizo pesa hawatarudisha?
Hakuna maana yakutoa mikopo kwa wanafunzi wengi huku baadhi yao wakionekana kuhangaika nakujutia kwa nn wamechaguliwa kujiunga na elimu ya juu wakati huohuo hata hiyo pesa wangekopeshwa wangetakiwa kurudisha hapo badae...
Ahsante Mkuu, me nimechaguliwa Ruco bach of environment heath science with information technology alafu best angu ananicheka chuo gani cha kizembe akati yeye kachaguliwa udsm akasoma bach of library and Info's study anajiona mjanja, nimemuonea huruma sana
Sawa next time jaribu kutofautisha uelewa wa akili wako na waxwingine coz may you be in the same group kama hujitambui,
Thanq ue kwa kujarib kunielewasha
Thanks uko mwelewa mkuu,nimekuelewa
We hujielewi I hope, mbuzi na environment health science wapi na wapi? Acha uchokoraa au elimu yako unafananisha na kila mtu co?don't you have another place rather than being here? Damn..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.