Recent content by Sam Steve

  1. S

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Mkuu wa kaya ndo yupi?
  2. S

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Miaka 2 au 3 nilimblock Kwenye account yangu ya fb Basra ya kupost picha Yake akiwa mtupu.
  3. S

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Ni moja Kati ya Vijana wachache wa Kitanzania -- aliyethubutu kuwa na nidhamu katika kujifunza kutoka kwa watu mbali mbali na ubinifu ambao ulileta matunda kwake mwenyewe na kuiinua jamii iliyomzumguka. Amethubutu kuonyesha inawezekana pata kipato bila UFISADI au uchakachuaji wa VIWANGO vya...
  4. S

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Mchango mzuri katika tasnia ya fiamu Tanzania - "The Great" jina muafaka... Kutoka kwa akina mzee Jangala & Kipara na magwiji wengineo Kijana alijaribu na Mchango wake umeleta mabadiliko, kwa kuzingatia Kiwango chahe cha elimu alijaribu. Yake yamekwisha kazi kwa tuliobaki kuweka sawa...
Back
Top Bottom