Recent content by Sam diko

  1. S

    Sales manager at Joy factory ltd

    Shukrani mkuu
  2. S

    Sales manager at Joy factory ltd

    Ebwana unaweza ukanipa jina la akaunti yake ya instagram
  3. S

    Sales manager at Joy factory ltd

    Hyo email inagoma inasema domain haipo
  4. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Kuna watu wana akili ndogo sana mm nimeshare experience yangu nilichokutana nacho ili mtu mwenye sifa zaidi yangu aombe lkn unaishia kuambiwa cjui mm ndio nani ujinga ni mwingi sana hii nchi
  5. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Ww wa kike au wa kiume.
  6. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Yaah nilichogundua wanataka mtu uwe na experience ya miaka mitatu kwenye commercial sales hawataki longolongo mm nilijua wameweka kama mkwara tujichuje
  7. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Ndio maana ckusema mengi mm nimetoa room ya mtu kujiridhisha mm nime share experience na kilichonitokea na nilikiwa cautious kwa sababu nilikuwa na mawazo kama yako so instead of kubwabwaja humu ungechunguza na kuwasaidia wengine wapate taarifa kamili watu kama nyie ndio mnapotosha maana halisi...
  8. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Ndio uwezo wako wa kufikiri ulikofikia hapo kama huna sifa kaa pembeni wenye sifa waombe na sio kudiss kila kitu
  9. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Tatizo lenu mnawaza negative tu mm mwenyewe nilihis hivyo lkn nimefanya nao hadi oral nimeshindwa mwenyewe ndio maana nimewa incourage wenye sifa wajaribu... kutapeliwa ni tamaa zako binafsi ww mtu unatafuta kazi halafu mtu humjui anakuambia utume hela unatuma c uzwazwa wako waache watu wajaribu
  10. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Daah niliwachukulia poa kwenye stages za mwanzo hadi waliponipangia tarehe ya oral ndio nikajua kiasi gani wako serious ila wanaonekana bado wanahuitaji
  11. S

    Hawa Cartrack inaonekana wako serious

    Hello wana, Jamvi niliomba nafasi kwa hawa jamaa wa Car Tracking since last week na nimefanya interview nao kadhaa ikiwemo ya Oral through WhatsApp calls ila leo wamenitumia email kwamba wamenimwaga may be sababu sina experience ya sales mtu yyte ajaribu inaonekana wako serious.
  12. S

    Natafuta mtu ambae atakuwa ana post kwenye blog

    Nipe mm ilo shavu ipo idle tu na bando co tatizo
Back
Top Bottom