Kama hauamini uwepo wa kifo na Mungu kamwe kifo kinapompata MTU usiseme kuwa sisi tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi ikiwa kifo hakitoki kwa Mungu , Mungu atampendaje MTU huyo?
Na kama kwa Mungu hakuna kifo kwa mini watu , wanyama na viumbe vinginevyo hufa na kutowrka kabisa? na he huwa wanaenda wapi.Mwenye akili timamu na kujua uweza wa Mungu lazima atafakari hili.
Yeyote asemaye kwamba kifo hakipangwi na Mungu basi mtu huyo hana Mungu na wala hamjui Mungu. Kwa kifupi no kwamba Mungu ndiye mwenye kutoa uhai na kuhuisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.