Recent content by Salmy

  1. S

    Acha shule fanya biashara

    Kama unataka kusoma nenda kasome bcoz unataka kuapply kitu unachokipenda na possibly ndo maana ukaajiriwa na kufanya biashara ili utafute ada ya kusomea.... Ila usije jutia baadae bcoz the world is changing everyday so be careful
  2. S

    Tupeane Uzoefu: Biashara gani ilikushinda?

    Naomba unifundishe hii biashara...
  3. S

    Nataka kwenda Dubai au China kununua simu nipeni maelekezo mliowahi kwenda

    Una maanisha unaweza kwenda na kurudi china na mzigo kwa 5,000,000 [emoji853][emoji853][emoji853][emoji853] Hapo tra inaweza kuwa hadi 8000000 huyo wa 20m aende tuuu
Back
Top Bottom