Kama unataka kusoma nenda kasome bcoz unataka kuapply kitu unachokipenda na possibly ndo maana ukaajiriwa na kufanya biashara ili utafute ada ya kusomea.... Ila usije jutia baadae bcoz the world is changing everyday so be careful
Una maanisha unaweza kwenda na kurudi china na mzigo kwa 5,000,000 [emoji853][emoji853][emoji853][emoji853]
Hapo tra inaweza kuwa hadi 8000000 huyo wa 20m aende tuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.