Watu walioactive mnaweza kujoin group letu la ufugaji wa ng'ombe wa maziwa tuendelee na mijadara ya ufugaji
https://chat.whatsapp.com/GfXUJGy2fv52fPc3Ro5ueX
Habari ya leo wafugaji nlipotea leo ngoja niwape somo la utunzaji wa ndama nimewamiss mno[emoji16]
Utunzaji bora wa ndama toka kuzaliwa mpaka kufikia miezi mitatu
Baada ya kuzaliwa ndama anatakiwa kuwekwa sehemu kavu yenye kivuli na sehemu isiyofikiwa na mvua kwa urahisi ili kuepuka hatari ya...
Inawezekana ni mange infestation nunua acaricides kama amitraz au cypermethirin uwaogeshe na wachomwa dawa za minyoo kwa interval ya week mbili watakaa sawa
Nguruwe ni wako aina gan local ,hybrid au pure breeds? Formula za chakula ni nyingi kutokana na requiremnet na status za mnyama. Kwa ushauri zaidi juu ya ufugaji wa nguruwe nicheki 0624227458 bila gharama yeyeto by dr siraji
Sahihi kabisa though kufuga ng'ombe wa kienyeji kwa project ya maziwa uwezi kutoka kirahisi awali ya yote kumbuka ng'ombe atazalisha lita mbili ambazo pia ndama anategemea kunyonya hapo hapo na ng'ombe wa kienyeji wanachukua mda mrefu kua matured hivo project itachukua mda mrefu kumpa faida...
Nimejaribu kupitia comment za ushauri wa watu mbali mbali kuona jinsi gani wanavokushauri kutatua changamoto uliyonayo mi binafsi maoni yangu yako hivi
Kutokana na picha hapo tunaona vifaranga wa bata wako katika mazingira machafu napata picha kua hii ndio sababu ya yote yanayotokea inawezekana...
Kwa sasa pure breeds na hybrid zinaonekana kua na faida zaidi ya kuchinja mfano mtoto aliechishwa anauzwa kuanzia laki 2 nakuendelea ukiangalia kwenye chakula anakua ametumia kiwango kidogo sana mpaka kufikia hapo zaidi ya kunyonya kwa mama kwa maoni yangu ukiwa breeder utapata pesa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.