Nashukuru kwa ushauri wako, frame niliyopata rent ni elfu 90 per month tena unalipa kwa miezi sita sita hii ni separate na hyo 8m. Hiyo biashara ya juice ni kwa jumla? au rejareja? challenge ya market ipo vipi maana kama uwa naona magari ya bakhresa yana supply hadi kwenye maduka mitaani!
Habari zenu bhana, Naomba ushauri jamani, nina mtaji wa Sh. million 8, sasa nimepata idea ya kuanzisha duka la jumla, kwa wenye uzoefu na hii biashara naomba muongozo plzzzz. Sina hakika kama huu mtaji unatoshea. Natanguliza shukran zangu za dhati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.