Recent content by sallyjagna

  1. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Duka la Jumla

    Mkuu me nipo Dar, na frame nimeshapata ni elfu 90 kwa mwezi tena mwenyew anapokea ya miezi sita sita hii ni mbali na hiyo 8m niliyo nayo ya mtaji.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Duka la Jumla

    Nashukuru kwa ushauri wako, frame niliyopata rent ni elfu 90 per month tena unalipa kwa miezi sita sita hii ni separate na hyo 8m. Hiyo biashara ya juice ni kwa jumla? au rejareja? challenge ya market ipo vipi maana kama uwa naona magari ya bakhresa yana supply hadi kwenye maduka mitaani!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Duka la Jumla

    Habari zenu bhana, Naomba ushauri jamani, nina mtaji wa Sh. million 8, sasa nimepata idea ya kuanzisha duka la jumla, kwa wenye uzoefu na hii biashara naomba muongozo plzzzz. Sina hakika kama huu mtaji unatoshea. Natanguliza shukran zangu za dhati.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Duka la Jumla

    Mkuu naweza pata contacts zako maana hii biashara imenijia akilini so I want to try it.
Back
Top Bottom