Recent content by Salimu Maulidi idd

  1. S

    SoC04 Nini tufanye ili kuboresha sekta ya afya miaka kumi ijayo

    Afya ndiyo mtaji wa maisha ya binaadamu,bila kuwa na afya bora huwezi kufanya shughuli za uzalishaji mali na badala yake ni kupoteza kile ulichokuwa ukikifanya kama chanzo cha mapato, sababu hiyo pia hupelekea umaskini. Kumbe basi Serikali ni watu ili nchi iwe katika hali nzuri ya kiuchumi Afya...
  2. S

    SoC04 Kuboresha mifumo ya elimu ya ufundi stadi ili kuleta matokeo chanya katika nchi yetu

    Viongozi wetu wamekuwa wakifanya mabadiliko mbali mbali katika sekta hadhimu ya elimu,mabadiliko hayo kwa namna fulani tumeona yakileta matokeo mazuri. Pia matokeo hayo ni jitihada zilizochukuliwa na baadhi ya waasisi wetu. Tuna vyuo vya ufundi stadi yaani (vocational and training centre) na...
Back
Top Bottom