Niwahakikishie Wananchi, Tanzania tuko salama, chapeni kazi ili kuleta maendeleo, uimara wa Taifa letu unaleta maneno mengi, msibabaishwe na maneno ya Watu walioko nje”.
Mhe. Samia Suluhu Hassan – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nadhani kuhusu kumuombea viongozi wetu wa nchi wajibu wa kila mtu katika Imani mabalimbali
iwe hadharani au la ni wajibu
Rais yupo salama nayupo kazini
Watanzania ni wakati sasa tuwe wasikilizaji wazuri wa taarifa maelekezo yanayotolewa na viongozi wetu wa Serikali
Tunaambiwa tujikinge basi tufanye hivyo lakini tunakumbushwa Mungu anasikia hivyo tuwe na Imani nae kwani yeye ndiye muumba wetu
Unataka wakuletee hatua hizo nyumbani
mbona mambo yanaeleweka ila watanzania tunaakili za kuchomwa sindano ilikuboost akili zetu
na ikumbekwe sio kila nayekufa saivi ni Corona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.