babu yako alikuwa anaona unamzingua tu ndio maana kakujibu hivyo
wanume wanakufa haraka sabab ya mizigo wanayobebeshwa wasiyostahili
bro, unaoa mke apo apo anakuletea wadogo zke uwasomeshe ilhali na wewe
unao wadogo ambao bado wanasoma, hapo hapo baba mkwe anaami kwako
anasema kaja kuwatembelea...
bro watoto wanamna hiyo wanakuaga sio wachawi
au wala hawahusiani na shirki yeyote isipokuwa ni aina
tu ya daraja zao mungu anazowapa yaani mara nyingi
hawa huwa na daraja kubwa hivyo nahisi uwepo wao labda
hauhitaji msaada wa mtu au ni mola mwenyewe kwa daraja zao
ndio hua kiongozi na mlezi wao...
bro hiki tunachokisema hapa si uchawi wala uzushi
ni kitu ambacho kipo we kama hauamini binafsi sikulazimishi
ila siku ukiona mtu limemtokea utaukumbuka uzi huu
wewe endelea kukataa hivyo hiyo na
mimi sina haja ya kukulazimisha uniamini
sababu nimeongea kitu ambacho kipo
hata ukikataa, qadari inaweza ikakukutanisha
nao siku moja nadhani ndio hapo utaamini
kwa vitendo
umeona eee, hii vitu vipo watu wabisha sasa ona
hapa hata makabila ya kiafrika zamani walishagundua
hili na wakawapa haddi na jina kutokana na waliyokutana
nayo na hadi mila wameziweka za kujiepusha na hatari zao
wewe unaebisha uliyezaliwa juzi ni nani?
wacha uwongo wewe yesu hakusema watoto ni watakatifu
wala hakusema ufalme ni wao bali alisema mtu yeyote ata
kae upokea ufalme wa mungu yaani ujumbe wake kama mtoto
mdogo anavypokea vitu anavyofundishwa bila mashaka wala
kuhoji basi huyo ni wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.