Napenda kutoa ushauri Kwa taasisi za umma panapokuwa na changamoto au marekebisho ya kimfumo iwe inatolewa taarifa kuwa kuanzia saa Fulani Hadi Fulani kutakuwa na jambo Fulani kwahiyo hamtakuwa hai wakati huo.
Lakini Kwa sasa asilimia kubwa ya mifumo mingi ya taasisi za Umma kukiwa na...
Kwakweli huo msako uliofanyika ni zaidi ya Movie... Hongereni sana mamlaka husika... Kwa sababu hizi laiti zingeingia sokoni hata Kwa Siku Moja tu Kwakweli ingeleta madhara makubwa sana. Kazi iendelee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.