Mtu kudai kuwa uwanja wa Taifa imejengwa na ccm ni upungufu mkubwa wa uelewa naye mmoja Kati kundi kubwa kama hilo linalokanyaga brake ya gari hili lilokwama katika tope zito la maovu ya ccm..Uwanja,ni pamoja na miradi mingine iliojengwa mabaki ya kodi zetu !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.