Mimi ni moja kati ya wafanyabiashara tulioumizwa na bado tunaendelea kuumizwa na taasisi ya serikali TEMESA mkoani Morogoro.
Nina madai ya madeni tokea 2017 nili-suply vipuri vya magari ila mpaka sasa nadai.
Miaka mitatu iliyopita walidai tupeleke invoice na barua ya madeni hayo kuwa wanatuma...
Nimejaribu kuwaza kwa sauti tu....
Elimu/ujuzi wa veta imekua ni elimu ambayo wengi wanaifata baada ya kuwa wamefanya vibaya kimasomo na mara nyingi baada ya kufeli elimu ya secondari au wengine baada ya kufeli kabisa ki maisha ndio linakua kimbilio la mwisho.
Kwa nini Elimu hii ( Ya Veta )...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.