Recent content by said rutemba

  1. S

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali Itusikie wazabuni, tunaidai TEMESA Morogoro tangu 2017

    Sijapata ujumbe wako mkuu
  2. S

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali Itusikie wazabuni, tunaidai TEMESA Morogoro tangu 2017

    Mimi ni moja kati ya wafanyabiashara tulioumizwa na bado tunaendelea kuumizwa na taasisi ya serikali TEMESA mkoani Morogoro. Nina madai ya madeni tokea 2017 nili-suply vipuri vya magari ila mpaka sasa nadai. Miaka mitatu iliyopita walidai tupeleke invoice na barua ya madeni hayo kuwa wanatuma...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Veta kuunganishwa na Elimu ya Sekondari

    Nimejaribu kuwaza kwa sauti tu.... Elimu/ujuzi wa veta imekua ni elimu ambayo wengi wanaifata baada ya kuwa wamefanya vibaya kimasomo na mara nyingi baada ya kufeli elimu ya secondari au wengine baada ya kufeli kabisa ki maisha ndio linakua kimbilio la mwisho. Kwa nini Elimu hii ( Ya Veta )...
Back
Top Bottom