Recent content by Saher isaya

  1. Saher isaya

    JamiiForums Tanzania Nimeishi naye miaka 7, kapata mwanamke mwingine kaniacha kwa kudai nina mikosi!

    Bro kisheria kma hamjafunga ndoa iyo tunaita ndoa dhahania ukienda mahakaman amna mnachogawana sababu iyo ndoa haina usibitisho wa cheti
  2. Saher isaya

    JamiiForums Tanzania Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

    Issue kma hii imewah kunitokea kwa binti mmoja tulipendana sana na me ndo nlikuwa mwanaume wa kwanza kwake.... binti alikuwa deep sana kiroho baada ya muda akanza kuniambia anaona ukarbu wake na Mungu unapungua akawa anaona maono kuhusu maswala ya uzinzi baada ya muda kma wa miezi sita akaja...
  3. Saher isaya

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

    Wapole jaman tupo tunaenjoy kuona tunapata sifa toka kwako
Back
Top Bottom