Recent content by safwaaa

  1. S

    Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

    Ndo raisi tuliyenaye,
  2. S

    PICHA:Lissu katika mkutano wa Chadema kata ya Kiboriloni.

    Naona wazee wa buku saba kimia,mpaka kieleweke
  3. S

    Zitto: Nilichukua kadi ya CHADEMA mwaka 1993, Wakati wengine wakiwa bado CCM

    Haijalishi,katiba ya chama inasemaje?,njaa mbaya sana inakufanya uwe mtumwa wa wenye nazo angalia sasa zzk msala umebaki kwake,msaliti lazima atengwe ikiwezekana ufukuzwe kabisa uanachama,huvi 14 days hazijaisha?
  4. S

    Only In Tanzania: Mwigulu na Nchimbi wakimbilia Polisi kushitaki Mipango yao Miovu kugundulika!

    Yaani magamba bado wanahangaika na CDM naona inawanyima usingizi kabisa!
  5. S

    RPC Mtwara: Wananchi kaeni mkijua ya kwamba hizo vurugu mnazozipanga kesho sisi tumejipanga vilivyo

    Haki ndo inatafutwa hapa ,mikoa ya kusini imesahauliwa sana kimaendeleo na serikali yetu ,wananchi wakunisini wanahitaji kusikilizwa ,na kikwete aliahidi wakati wa kampeni .za uraisi kuwa gas haitatoka mtwara,na ukumbuke nod walio mweka madarakani.
Back
Top Bottom