Picha ya spiker ndo hyo kwa utaalam wenu mnaweza kujua ni wats ngapi kwan inakita balaa, mi mnipe tu 120000 yangu. Kwa muhitaj napatkana sinza white inn
poleni wadau nmejaribu ku weka picha nmechemka, na watts cjui kwani nlnunua kwa matumizi ya kwenye gar na gar kwa ss nmeuza, ndio sabab nauza mali yangu. Ss cjui labda unichek whatsapp nkupatie picha 0717149646 asanten!
Wadau naomba muongozo wenu kwani nataraji wiki ijayo mungu akijaalia uhai na afya niwe wakala wa luku tanesco. Msaada tafadhali njia za kufata, msingi na mengineo
Habari!
Box ni XPLOID
speakers ni PIONEER double
Bei ni tsh 120,000 (negotiable)
ipo ktk hali nzuri, Dar es salaam
Kwa mawasiliano 0717149646 (tuma sms)
Habari za muda huu! kwa heshima na taadhima napenda kuleta wazo langu mezani ili nipate ufumbuzi au uwelewa wa kutosha kabla ya kutenda (survey).
Mimi ni mwajiriwa ktk sekta binafsi nna wazo la kufungua ofisi ya uuzaji wa lishe (nafaka) na kuwa wakala wa uuzaji wa luku kupitia mashine za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.