Recent content by sadi bby

  1. S

    Majina yametoka NACTE kwa wale waliokosa first batch

    Jmni na mmi naomba niangalizie hawa mabint zangu.... salome augustino kapinga na sarah dickson kaminyoge.
  2. S

    Post Graduate Diploma v/s Bachelor Degree

    Jamani kwa uelewa wangu mtu mwenye post graduate diploma ni mtu mwenye degree tayari ila alikuwa ana ufaulu mdogo degree wa kuweza kuendelea na masters so ina mbidi asome post graduate diploma kubost qualification zake ili aendelee kusoma master....asante
  3. S

    NACTE wananicheleweshea matokeo, naomba ushauri

    Habari zenu wana jamvi. Mimi ni mwanafunzi nime maliza diploma mwaka huu 2014 name nina nia ya kuendelea na masomo yangu na matokeo ya chuo nilicho maliza yako NACTE tayari ila kila nikifatilia huko NACTE naambiwa leo kesho kila siku wana tudanganya wataweka matokeo tumalizie application na...
Back
Top Bottom