Wiki iliopita nilikua nasumbuliwa na mafua nikaenda kupima malaria nikawa nayo basi nikajiongeza nikaenda pharmacy nikanunua dawa metakeflin sijui ndo inaandikwa hivo haya
Baada ya kumeza usiku asubuhi naamka mwili wote unawasha macho yamekua mekundu siku inayofuata ndo hali ya kuungua kwenye...
wana jf nisaidieni simu yangu button ya lock ukii click haifanyi kazi pia na sauti haitoki labda nikitaka kusikiliza music au simu ikiita hadi nitumie earphone msaada wenu wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.