Hujavijua vizuri hivi vilabunvya yanga na simba, yaliyotokea kwa fei lazima yalipwe kwa gharama yeyote,lakini pili jangwani wamemuuza mayele ili kubalance mzani kwa mashabiki lazima huyu mwamba nae aondoke kwenda yanga au kokote kule.
Ni perfect kweli ila shida yao kubwa kwa sasa ni mbili moja ukiwa unabet hakikisha una maliza au uwe unacopy ulipo ishia vinginevyo unaanza upyaaaa, mpawa haushinde siku mbili unatengeneza mkeka haufutiki, pili timu ikishatoa yaani kama 1.5 over haipigi tiki mpaka mchezo uishe tofauti na mpawa...
Tuanzie hapa nina shling ya mwisho ya kubetia nahitaji hela leo piga ua.
1. Yanga win sina shaka
2. Man city win
3. Napoli win
4. Psg win
5. Bayer win japo tia tia maji
6. Celtic win
Hata tukiwawekea magoli hawa sawa pia niwekee mwingine
Swala la mnyama wydad ili kufuzu anahitaji goli 2 bila kama unaamini mnyama atapata goli acha kushinda basi wydad anahitaji goli 3 plus 1 la simba 4 kwahiyo weka tu over 4.5 inatoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.