Sasa kaleta mwingine wa nini? Au ndio tuone hatupendwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saaly sijapenda.
Ngoja nimjibie maana dada unaonekana imekuuma kweli.
Niliandika kwa kifupi sana as sikuwa na muda wa kutosha kuandika in details, na waliocoment walitaka details. Ndio maana nimeleta details. Mbona umeandika kwa hasira sana bibie? Kwema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.