Naimani ukijenga kwa kutoepuka gharama basi haitavuja. ( mfano kuweka waterproof au "kuzungushia kofia ya bati pembezoni mwa ukuta. (sijui inaitwaje kilunga ya ufundi ):D mengine unamuachia mungu.
Fundi anasema atafunga mbao Alafu atakadiria mabati. Ili nisipate hasara ya kununua mabati zaidi ya inavyotakiwa.
Upande mwengine nahofia kuweka mbao Alf nikachelewa kupata mabati . Mbao zitapinda kwasababu ya jua au mvua.
Salaam wakuu,
Naambatisha hapa picha ya ramani ya paa( hiddenroof) naomba wataalamu wetu wanisaidie kunipa makadirio ya idadi ya bao na mabati inayohitajika ya hiii nyumba.
Ikiwezekana pia makadirio ya ujenzi kiujumla ya kumaliza paa. Nawashukuru sana na mbarikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.