Sasahivi inaenda kwa chadema. Kwa ishu zao za ukabila na kulisishana uwenyekiti ka utawala wa kifalme lazima kiwa cost. Chadema wahasisi wao wakina Mtei na Makani ndio wanapanga nani apewe uongozi na nani asipewe. Hebu angalia historia ya uwenyekiti wa chadema alianza Edwin mtei akaja akamuachia...
Kafulila awe mwana harakati, hujue ukileta harakati zako kwenye siasa mwisho wa siku, unaambulia kufukuzwa kwa mbwa kaingia msikitini. Hujue siku zote mwana harakati huwa anaamini na kusimamia mawazo yake na huwa haamini mawazo ya mtu mwengine. So kafulila kwa staili yako kila chama utafukuzwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.