Hii ndio typing yangu ya mwisho kufunga mjadala..
Sina njia ya kufanya mtu aamini, kama ni chai Mungu ndio anajua ukweli wa maisha ya mtu. Siwezi kulazimisha kila mtu aamini.
Na pia siwezi kuweka kila kitu hadharani..
kama ni maoni na ushauri nimeshapata vya kutosha. Nitakaa kwa utulivu...
Sio kweli.. wewe tu ndio hujafuatwa.. waulize wafanyabiashara wakubwa watakueleza.. kama una mzunguko wewe ni lulu kwa bank watakunyenyekea na kukufata..
Nilianza biashara mpya kwa sababu ile pesa baada ya kuingia ilifanyiwa mgawanyo kwa wadau walio husika.. na mimi ndio nilikua nina jukumu la kuirejesha yote bank pamoja na interest zake.. hivyo tayari ile principle amount niliyopewa na bank ilikua imepungua kwa kiasi kikubwa.. ndio maana katika...
Niliitiwa dhahabu huko nikaambiwa niende na pesa cash.. wenyeji wangu ndio waliniuza, baada ya kukamilisha biashara na kuanza safari kurejea nchini.. tukavamiwa na watu. Wakachukua kila kitu tulichokuwa nacho. Ule mzigo ulikua na thamani ya usd 1m.. Actually mambo ni mengi sana yaliyo tokea...
Inawezekana vizuri tu.. bank haiuzi nyumba ya mtu bila kufungua kesi. Na kama mwenye nyumba hiyo akiwa na utetezi wenye mashiko.. hiyo nyumba haiwezi uzika.. mfano labda kama alinipa nikopee bila kushirikisha familia yake.. na familia yake ndio ikaweka pingamizi kuuzika kwa nyumba hiyo.. bank...
Inawezekana vizuri tu.. bank haiuzi nyumba ya mtu bila kufungua kesi. Na kama mwenye nyumba hiyo akiwa na utetezi wenye mashiko.. hiyo nyumba haiwezi uzika.. mfano labda kama alinipa nikopee bila kushirikisha familia yake.. na familia yake ndio ikaweka pingamizi kuuzika kwa nyumba hiyo.. bank...
Narudia tena kusema asanteni kwa maoni na ushauri wenu. Bado naendelea kutafakari njia kadhaa ambazo wadau wametoa huku. Wengine ni waungwana wameshanifata pm nakunipa pole na kunielekeza cha kufanya. Asanteni sana kwa ujumla..
Ipo siku nitakuja kutoa mrejesho wa namna nilivyo jinusuru kwenye...
Wadau asanteni kwa ushauri.. Wanaofikiria hii ni chai, poleni sana. Hamna uzoefu na biashara za kariakoo.. labda nikupe dokezo kidogo.. kontena moja la spares kutoka Dubai au china linaweza kuwa na thamani ya milion 100 mpaka milion 200... sasa kwa mwezi nilikua naweza kuuza mpaka kontena 5 za...
Wewe ndio unaona chai, lakini ni story ya ukweli na kila kitu kinawezekana chini ya jua.. sina namna ya kukuaminisha. Sijaja hapa kujitapa ninachotaka ni ushauri na nashukuru Mungu wengi wamenishauri niondoke Tz.. hakuna sehemu ya faraja zaidi ya JF..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.