wadau kuweni makini kuna matapeli wanapigia watu simu na kuwaomba fedha ili
kushort list majina.Kwa taarifa za ndani ni kuwa hao ni matapeli wenye nia ya kuwalaghai job hunters.Upigaji huo wa simu unafuatia aptitude test ya PSPF iliyofanyika 1 June 2013!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.